Genesis 10:6-9

Wazao Wa Hamu

6 aWana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misraimu,
Yaani Misri.
Putu na Kanaani.
7 cWana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.

8 dKushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani. 9 eAlikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Copyright information for SwhNEN